KARIBU

KARIBU
Tunakusalimu katika Jina la BWANA wetu YESU KRISTO. karibu katika ukurasa huu maalumu wa USCF CCT UDOM CHAPLAINCY-KITIVO CHA TIBA. USCF ni kifupisho cha maneno machache; UNIVERSITY STUDENTS CHRISTIAN FELLOWSHIP na CCT ni kifupisho cha CHRISTIAN COUNCIL OF TANZANIA. Sisi ni ushirika wa vijana wa vyuo vikuu kutoka makanisa wanachama wa baraza la kikristo Tanzania (CCT). tumekuwa na ukurasa huu maalumu kwa ajili ya Kuhubiri Injili, Kufundisha Neno la Mungu, kupashana habari pamoja na kushauriana. Ni kiu yetu kuwa walioko makazini, majumbani, mashuleni na maeneo mbalimbali waweze kufikiwa na mahubiri/mafundisho yetu yanayotolewa na watumishi mbalimbali waliopo katikati yetu na wale wa nje ya USCF pamoja na wahubiri wa kimataifa. KARIBU TUJIFUNZE NA KUHABARIKA NA MUNGUAKUBARIKI

test post


Mtumishi Samweli Mwaimu
MAANA NA UTARATIBU WA IBADA
Sisi wa kristo tunaamini katika kanisa Moja,Kathoriko, na la Kimitume. Kanisa limejengwa kwenye misingi mitatu yaani;
  • neno(mafundisho)
  • Mapokeo ya kimitume
  • Roho mtakatifu
Ibada ni utaratibu ambao wanadamu wameuweka katika kumwabudu Mungu Kwa msaada wa MUNGU, na ibada inautaratibu,kusudi la Yesu kuja duniani (na vizazi) ni kuleta upatanisho kati ya mwanadamu na MunguMungu wa Ibada aliowapa wanadamu(unaexist) kwa wayahudi wa wakati huo) Kanisa la kristo limeanza baada ya kristo kuwepo duniani. Na watu-wakristo walionziasha kanisa la kikristo walikuwa ni MITUME wa Yesu.na mitume ndio waliotumwa na Yesu .
   MAPOKEO
Mapokeo ya kanisa yametoka mwanzo mwa kanisa ambapo wakina Paulo , petro na mitume wengine walikuwepo kwani

Leo jumapili mtumishi Samweli mwaimu katika kanisa la tiba akifundisha neno linalosema

MSAADA WA MUNGU MAISHANI MWETU
Kutoka 14:21-31, katika maisha yetu tunaona msaada wa Mungu kwenye maisha yetu haupo.Msaada wa Mungu upo kwenye maisha yetu endapo tutampenda.
Mara nyingi tunaaza na jitihada zetu na kumuacha Mungu lakini Mungu anataka tuanze na yeye, katika maisha yetu Duniani tumepewa nafasi ya miungu tunachofanya kinatokea na kwetu tunavyowasaidia wengine tunamhudumia Mungu na Mungu anavyokuwa jirani na wewe anakujibu maombi yako. Fedha ushauri, mawazo.
Vile unavyotaka kutendewa ndivyo uwatendee wengine(kipimo mnacho wapimia wengine ndichomtakachopimiwa)
Kwaya wakiingia kwenye stage katika uzinduzi wa mkanda wa picha wa magugu na ngano

CHUO KIKUU CHA DODOMA

UMOJA WA WANAFUNZI WA KIKRISTO TANZANIA USCF-TIBA.

Bwana Yesu asifiwe,

Kama tulivotangaziwa kuwa kuanzia tarehe 2 February hadi tarehe 5.february siku ya   jumapili tunatarajia kuwa na zoezi la uchaguzi wa viongozi wapya ndani ya

MAADHIMISHO YA KUUNDWA KWA CCT


 Mchungaji Kalinga katika ibada ya jumapili

MAHAFALI YA USCF CCT UDOM 2016

Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa katika mahafali ya USCF CCT UDOM CHAPLAINCY 2016.......jionee mwenyewe mpendwa

Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe pekee ili kila amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele. Yohana 3;16